Adili na DVD Magazine!
Anakwenda kwa jina la Adili...ila wengi tumekuwa tukimfahamu kwa jina la HIsabati,kwa taarifa yenu ni kwamba msela huyu ambaye pia ni mmiliki wa kampuni la Chokambaya....anajiandaa kuja na kitu tofauti kidogo...ambacho ni DVD Magazine.
Hayo aliyaweka wazi hivi karibuni na kudai kuwa yupo kwenye hatua za mwishomwisho tu kumalizia project hiyo...ambayo ndani yake itakuwa na manews pamoja na matukio mbalimbali ya muziki wa Bongo yakienda sanjari na picha za video za matukio hayo.

Gonga hapa kutoa
maoni yako kuhusu story hii...!!!

Gonga hapa kusoma
maoni hayo...!!!
Mtumie Rafiki
Print nakala