Kikosi cha timu ya taifa ya Wanawake ‘Twiga Stars’ kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wao na timu ya Namibia wa kufuzu Fainali za Mataifa Afrika kwa Wanawake (AWC) uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Twiga Stars imeshinda 5-2.