Hoyce Temu akiwa katika picha ya pamoja na Meneja Mkuu wa Kampuni ya kuchapisha vitabu ya MKUKI na NYOTA ambayo ndiyo imechapisha kitabu cha Hoyce Temu. Kitabu NAYAKUMBUKA YOTE kiko mitaani tayari na kinapatikana kwa shilingi 5000 kwa nakala lengo likiwa ni kuhamasisha wasichana na wanawake wanaopitia magumu katika maisha.