/td> Tafuta DHWTangazaTuandikie

Darhotwire.com haitahusika na maoni ya msomaji yeyote aliyotuma katika ukurasa huu kuhusiana na story zetu.

Mashabiki wataka mechi usiku


kimsingi nami naunga mkono mawazo ya wadau wa soka hasa wa timu hizi mbili (Yanga na Simba)kuhus mechi kuchezwa usiku ili kwa pamoja tuweze kuangalia burudani hiyo ambayo naaamini Yanga Africa itaondoa uteja kwa wenzao hao.

* Comment by mohammed gola
* Date Tuesday, December 22, 2009
View Original Story

Dah! Kimsingi game ikipigwa mchana itatunyima sana uhondo hata sisi wanafunzi wa vyuo coz lect. Zinaenda hadi saa 12 hvyo ni vema TFF wakalitizama swala hili kwa jicho la tatu

* Comment by Said mkindi
* Date Tuesday, December 22, 2009
View Original Story


Archive:

Copyright © 2010 Darhotwire.com All rights reserved.Design by Infocomtechnologies Limited.