Darhotwire.com haitahusika na maoni ya msomaji yeyote
aliyotuma katika ukurasa huu kuhusiana na story zetu.
Aishi stendi ya mkoa kwa miaka 5!
we ndugu kama ulifukuzwa na mimba ya kwanza ya pili ulipataje?kufanya kosa si kosa lakini kurudia kosa ni kosa.
umewazarau sana wazazi wako kwa kuja na mtoto mwingine?
unaomba msamaha wa nini?kwa wazazi wakati hujui kosa lako?
we cha kufanya tafuta kibarua ufanye kazi upange chumba ujihudumie na watoto wako.
aksante
* Comment by hamida
* Date Wednesday, February 3, 2010
View Original Story