Darhotwire.com haitahusika na maoni ya msomaji yeyote
aliyotuma katika ukurasa huu kuhusiana na story zetu.
Nyota Ndogo ageukia Gospel!
kitendo alichokifanya si cha kiungwana hata kidogo hiyo ni njia moja wapo ya kuisaliti dini yake na kategwa kidogo tu kaingia usije ukastaajabu akaritadi kwa pesa tu. yeye hatambui kama hawa wenzetu wana kila njia ili kuutokomeza kabisa uislamu? Allah amuongoe. amin
* Comment by fatumatah
* Date Thursday, February 4, 2010
View Original Story