/td> Tafuta DHWTangazaTuandikie

Darhotwire.com haitahusika na maoni ya msomaji yeyote aliyotuma katika ukurasa huu kuhusiana na story zetu.

Kupiga Hodi kanda ya ziwa


Naipongeza sana bendi ya extra bongo, pamoja na ally choki. ila namshauri ally choki awe anatupigia kwanza nyimbo za zamani kidogo ili watu wafahamu kwamba wamerudi katika jahazai la muziki, kama ndanda kosovo alivyorudi alikuwa anapiga za enzi kwanza watu wakavuta hisia ndio akaanza na mpya, kwa upande mwingine vilevile itawasaidia hata hawa extra bongo, nyimbo yao kama KUTWA MARA TATU, NK. nawatakia kila laheri katika ziara zao zote na mafanikio mema.

* Comment by mr kapera
* Date Monday, February 8, 2010


Archive:

Copyright © 2010 Darhotwire.com All rights reserved.Design by Infocomtechnologies Limited.