Tundu Lisu na Wenzake wameachiwa kwa dhamana na masharti magumu
Habari za kuaminika ni kwamba tundu lisu na wenzake wameachiwa kwa dhamana kutoka mahakama ya tarime.Lakini masharti aliyopewa ni kwamba asionekane nyamongo from today. source redio one breaking news. mwenye taarifa kamili aendelea kutujuza.
