Una jambo linalohitaji kujadiliwa? tuma jambo
irinemwacha@yahoo.com
Nina mchumba wangu yupo mbali na mimi. Nilishaenda kwa wazazi wake lakini tatizo kuna siku nilimpigia simu mwanamke akapokea then huyo mwanamke akanikashifu niachane na mume wake! Mimi sikumjibu chochote.
Sasa huyo mwanamke amejirudi kwagu ananiamba niwe rafiki nae tusigombane kwa sababu ya mwanaume. Je mimi nifanye ama niwe niwe rafiki yake?
