ANAOTA MA-EX, NIFANYEJE?
Nimekua na BF wangu for 3years sasa. Lakini hivi karibuni amekua akiwaota ma-ex wake, as if wako hapo wakifanya mapenzi live. Our love life is great, lakini nimeanza ku-doubt kama ni kweli. Iweje nikupe na kufanya kila kitu ilihali tu upagawe na kutaka more, alafu unaanza kuota juu ya vinshekupe wengine. Nifanyeje nimwache au? Tumeshaliongelea hili, ila ankuja juu, had evidence nimempa. Nisaidieni jamani!!!!!!!!!!!!
« Jadili suala letu la leo »
Je unalo linalokutatiza ?
Gonga
[hapa] kuniandikia
Mtumie Rafiki
Print nakala