Tafuta DHWTangazaTuandikie
KANISA LA LEO


Waigizaji:-JB, Rich Rich,Bishanga, Zimpopa
Imeandaliwa:-Jerusalem Film Production

Kama jina linavyojielezea filamu hiyo inahusu jinsi makanisa ya sasa hivi yaliyojazana yanavyoendeshwa, ndani yake utamkuta JB ambaye anakuwa ni mchungaji wa kanisa anayetumia hirizi ili afanikiwe kuwapata waumini mwisho , kutokana na hilo anakuwa hana imani ya kiroho analeta majungu na kumfanya mchungaji mwenzie asimamishe na akaenda anzisha kanisa lake ambalo linapata waumini, kama ilivyo za mwizi 40 siri yake ilikuja fichuka baada Zipompa pompa kukuta hirizi kwenye bibilia ya mchungaji JB



 Gonga hapa kutoa maoni yako kuhusu story hii...!!!
 Gonga hapa kusoma maoni hayo...!!!

 Mtumie Rafiki |   Print nakala

 

Archive/Kumbukumbu:


Copyright © 2007 Darhotwire.com All rights reserved.Design by Infocomtechnologies Limited.