Tafuta DHWTangazaTuandikie
SIRI 'THE SECRET'



Mtunzi:-Sultan Tamba
mtayarishaji:-Kessa Mambeleko
Muongozahi:-Hammie Rajab
Waigizaji:- Banana, Sinta,Ummy,Stara,Taji liundi,Jimmy,Jafarai

Ni familia ambayo iliachiwa urithi baada ya wazazi kufa kutokana na tamaa ya mali ,Dada Stara anapanga mauaji na majambazi ili wamuue kaka ake ambaye alikuwa mtangazaji wa redio Jimmy , ndipo mdogo wao mbaye ni Banana alipoona mambo hayako sawa na kuhisi kuna mchezo mchafu ambao umechezwa na dada ake anahisiwa kuwa anahusika na mauaji na upelelezi unaanza na kutiwa hatiani...ndo siri iyooo



 Gonga hapa kutoa maoni yako kuhusu story hii...!!!
 Gonga hapa kusoma maoni hayo...!!!

 Mtumie Rafiki |   Print nakala

 

Archive/Kumbukumbu:


Copyright © 2007 Darhotwire.com All rights reserved.Design by Infocomtechnologies Limited.