ITUNYAMA
Ni filamu inayohusu enzi za zamani jinsi binti wa kiafrika aliyejitoa muhanga kumtafuta mchumba wake, aliyechukuliwa utumwa katika misitu minene yenye hatari nyingi akiamini ndoto yake kutimia.
Biashara ya Utumwa ilishamiri katika karne ya 18, watu waliuzwa kama bidhaa kwani walichukuliwa toka katika makazi yao ya tawala za watemi na kuweza kuuzwa katika bara la Amwrika, Ulaya na Australia katika Pwani ya Afrika Mashariki.
Wageni hao waliingia na kutwaa watumwa lukuki miongoni mwa watumwa hao, wengi waliweza kuuwawa na kuweza kupata mateso makubwa ndani ya misafara iliyosheheni watumwa 200 hadi 500.

Gonga hapa kutoa
maoni yako kuhusu story hii...!!!

Gonga hapa kusoma
maoni hayo...!!!
Mtumie Rafiki |
Print nakala