Tafuta DHWTangazaTuandikie
Nidhamu ndio silaha yetu



kiongozi wa kundi la Ze Comedy Isaya Mwakilasa almaarufu kama Wakuvwanga amedai kua nidhamu ndio silaha yao kubwa inayowafanya wadumu hadi leo

Akiongea na darhotwire Wakuvwanga ambaye anafahamika kama waziri mkuu aliyejiuzuru au Mama beleee alisema nidhamu ndo silaha ya kundi lao kuwepo hadi leo

Kumekuwa na udaku wa mara kwa mara unavumishwa kama sie tumesambaratika kutokana na didhamu yetu hilo itakuwa ngumu

..Tofauti yetu na wachekeshaji wengine ni hiyo tu nidhamu na wote kujiona level moja hakuna super star wote ni wamoja na ndio maana kiapokuwepo mwnzetu mmoja nasisi wote tu...alisema Wakuvwanga

Na walidokeza kinachowapa kiburi cha kuwaigiza watu ni kutokana na kuwa na uhakika na wanachoigiza na ushahidi wa vithibitisho na kuzingatia kuelimisha na kukosoa pamoja na kuburudisha kwa watati mmoja

Msomaji wa safu hii endelea kuzuru ukurasa huu ili upate makala za viumbe hawa hivi karibuni.


 Gonga hapa kutoa maoni yako kuhusu story hii...!!!
 Gonga hapa kusoma maoni hayo...!!!

 Mtumie Rafiki |   Print nakala

 

Archive/Kumbukumbu:


Copyright © 2008 Darhotwire.com All rights reserved.Design by Infocomtechnologies Limited.