Tafuta DHWTangazaTuandikie
Flaviana aanza kula matunda!!



Mwanamitindo wa Kitanzania anayeibukia kwa kasi kwenye fani hiyo Falviana Matata amezidi kulamba bingo baada ya kualikwa nchini Japan kwa mwaliko wa kampuni ya magari Wilna International.

Flaviana aliondoka Tanzania mwezi mmoja na nusu uliopita na sasa nyota yake inaonekana kungara zaidi baada ya kupata zali hilo ndani ya muda mfupi tu aliokaa Afrika Kusini.

Akiwa huko Flaviana amepata Junes Modeling Agency iliyoko Ropongi Nishi Azabu ambao atafanya nao kazi na ikiwezekana anaweza hamishia makazi nchini humo


Itakumbukwa Falviana alkuwa mshiriki wa kwanza kwa watanzania kwenye shindano la ulimbwende la ulimwengu yaani Miss Universe ambapo alifanikiwa kuishika dunia.

Kila la kheri Flaviana



 Gonga hapa kutoa maoni yako kuhusu story hii...!!!
 Gonga hapa kusoma maoni hayo...!!!

 Mtumie Rafiki |   Print nakala

 

Archive/Kumbukumbu:


Copyright © 2008 Darhotwire.com All rights reserved.Design by Infocomtechnologies Limited.