Tafuta DHWTangazaTuandikie
Fenicha za chuma

Fanicha za chuma ni chuma ambazo zinatengenezwa kwa ustadi mkubwa na kuna mapambo ya aina mbalimbali.

Fanicha hizi nyingi zimekuwa zikitoka nje ya nchi. Lakini kwa sasa watanzania tumeendelea na tunazitengeneza hapa hapa kwetu Tanzania.

Tumekuwa tukizidharau ila ninachotaka kusema kuwa fanicha hizi ukilinganisha na zingine ambazo nyingi ni za mbao, hua hazileti panya ndani wala wadudu waharibifu.

Na kwa upande wa kupendezesha nyumba, hufanya nyumba inakua safi na muonekano mzuri, kwani ni rahisi kufanya usafi kila siku chini ya uvungu.

Fanicha hizi yaweza kua ni

* Kitanda
* Chuma za mapazia
* Meza ya chakula,na ya sebuleni ndogo
* Vikabati, vya chooni, jikoni etc na sehemu nyingine nyingi

Imendaliwa na Sylvia wa blog ya Homez Deco


 Gonga hapa kutoa maoni yako kuhusu story hii...!!!
 Gonga hapa kusoma maoni hayo...!!!

 Mtumie Rafiki |   Print nakala

 

Archive/Kumbukumbu:


Copyright © 2010 Darhotwire.com All rights reserved.Design by Infocomtechnologies Limited.