1 kg unga wa ngano
1 kikombe kimoja
1 kijiko kidogo cha chai chumvi
nusu kikombeha chai mafuta ya kupikia
2 mayai kuongeza ladha
JINSI YA KUANDAA
-Unga wa ngano
-Weka mafuta katika unga
-Kisha weka moto sana katika unga
-Kisha changanya kwa kutumia mwiko maana maji ni yamoto sana
-Weka chumvi
-Kishaanza kukanda kwa mkono maji yatakua yameshapoa
-Kanda unga safi kabisa uchanganyike
-Kisha anza kusukuma unga wote
-Baada ya hapo mwagia kwa juu mafuta ya kula pakaza eneo lote
-Hakikisha mafuta yameenea unga wote
-Kisha geuza a upande wa pili paka pia mafuta
-Toa weka katika sahani itakua imeiva safi kabisa tayari wa kuliwa
-Weka pembeni zipoe kisha unaziwekakatika sahani unatumbukiza katik mfuko wa plastiki usiweke kwenye friji weka tu nje zitakua safi na laini zinakaa wiki 1 baada ya hapo zitapoteza ubora ukitaka kula unatoa unapasha kwenye kikaango au kwenye micro wave inakua yamoto na laini zaidi na iliyochambuka kwa ubora uleule
MAHITAJI NYAMA YA MBUZI
1 kilo nyama ya mbuzi
1 kitunguu kikubwa
1 nyanya ya kopo
1 kijiko kidogo cha chai kitunguu swaumu
3 viazi ulaya
1 kikombe kilichojaa mchanganyiko w mboga majani
1 kikombe cha maji baridi
1/2 kikombe mafuta ya kupikia
-Weka mafuta katika sufuri yakishapata moto weka kitunguu maji kaanga
-Kaanaga vitunguu mpaka viwe vya kahawia ili kuleta ladha nzuri katika mchuzi wako na kuondoa harufu ya mbuzi ili mtu yeyote yule aweze kula
-Baada ya kitunguu kuwa kahawia weka nyama ya mbuzi piaendkea kukaanga
-Ongeza maji kiasi ili sufuria isiungue pamoja na nyama
-Kisha weka chumvi
-Acha mbuzi ichemke na itakua na mchuzi wa kahawia
-Kisha weka kitunguu swaumu hicho ni kifaa maalumu cha kusagia kitunguu swaumu
-Baada yahapo weka viazi uklaya vilivyomenywa safi na kukatwa katwa vidogo
-Kisha weka nyanya ya kopo
-Kisha weka mchanganyiko wa mboga majani ( caroti, njegere na pili pili hoho, mahindi machanga ya njano)
-Kuongeza ladha zaidi unaweza weka unga wa binzali au rojo la binzali
Kwa hisani ya Issa Kesu
