Share |

Diamond - Moyo wangu

Diamond
Moyo wangu

 Moyo wangu, moyo wangu mama eeeeee,
 moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa
 Moyo wangu, moyo wangu mama eeeeee,
 moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa

 Upole wangu simanzi eeehee, kwa kukupenda maradhi eeehee,
 lakini kupendwaga mi naye bahati huaga sina
 jichoni kwangu kibanzi eeehee, tena nampenda kamanzi,
 licha ya kumthamini kama shilingi tatizo hata raha sina
 ufinyu wa mboni zangu unatazama mengi aliyonipa mateso,
 tena hata kupenda sina raha, ona nakonda kwa mawazo
 masikini penzi langu Gina nilishakata na kauli roho inatoka kesho
 kutwa nzima mara eeeee mara iiiii hata najuta kupendaaa

 Moyo wangu, moyo wangu mama eeeyeee,
 moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa
 Moyo wangu, moyo wangu mama eeeyeee,
 moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa

 mmmmhh tena, kutwa kucha mara ooohhh,
 huwezi kosa maneno, ili mradi tu tara tantalila, mmmh sina raha
 wala sina tena mipango, kutwa nzima na mawazo Gina,
 mmhhh aaaaaahh ooohh sina raha oo mama
 tamu ya wali ni nazi eeeeee , raha ya supu maandazi eeeeeeee,
 raha yangu mi kupendwa tu naye lakini nyota sinaaa,
 na napata na radhi eeeeee, nawakufuru wazazi eeeeeee,
 kwa kung'ang'ana mi kutaka kuwa naye lakini bahati sinaaa,
 masikini roho ingalikuwa ni nguo ningempa avae japo akipita wamsifie,
 ila lakini ni kikwazo
 masikini penzi langu Gina nilishakata na kauli roho inatoka
 kesho kutwa nzima mara eeeee mara iiiii hata najuta kupendaaaa

 Moyo wangu, moyo wangu mama eeeeee,
 moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa
 Moyo wangu, moyo wangu mama eeeeee,
 moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa
 Moyo wangu, moyo wangu mama eeeeee,
 moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa
 Moyo wangu, moyo wangu mama eeeeee,
 moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa

Other Lyrics

Professor Jay
Quick Rocka
R.O.M.A
Jay Moe