KICHEKESHO CHA LEO
Kuna jamaa mmoja raia wa Kenya alikamatwa na pombe ya gongo kule wanaita chang’aa iliyokuwa kwenye chupa na kufikishwa mahakamani. Hakimu baada ya kumsomea mashtaka yule Mjaluo aliuliza swali;
Mshtakiwa: Nauliza ile chang’aa umeikuta kwenye midomo yangu au ya chupa?”
“Kwenye mdomo wa chupa”
“Basi shtaki chupa sio mimi”
Jibu lilimuacha hakimu mdomo wazi
Mmh kweli tembea uone duniani kuna mambo.
[ Tuma Kichekesho Chako ]



Hapa Unasemaje?Cheki picha (juu) halafu ikong'oli
ili utoe maelezo yako kuhusu unachokiona, kisha njoo uangalie
kesho (chini kushoto) uone wengine wamesema nini...