KICHEKESHO CHA LEO
Baba aliwahuliza watoto wake wa kiume na kike maojiano yalikuwa kama ifuatavyo:-Baba-Wewe mwanangu(wakiume)ukikua unataka kufanya kazi gani
Mtoto-Nataka kuwa rais maana nynyi mlimwogopa baba wa taifa zamani sasa mambo vyovyote nitaweka wanawake wengi ofisi kwangu niangalie...yao
Baba-Je wewe wa kike
Msichana-Nataka kuwa mwenyekiti wa wanawake chama twawala nitambie na kuwatukana wanawake na waume zao
[ Tuma Kichekesho Chako ]



Hapa Unasemaje?Cheki picha (juu) halafu ikong'oli
ili utoe maelezo yako kuhusu unachokiona, kisha njoo uangalie
kesho (chini kushoto) uone wengine wamesema nini...