KICHEKESHO CHA LEO
Mzee Mwa K alimpeleka mtoto wake hospitali baada ya mtoto huyo kuzidiwa na malaria kali kiasi cha kupoteza fahamu mara kwa mara.Alipofika hospitali mazungumzo yake na daktari yalikuwa kama ifuatavyo:
Daktari:Mzee nasikitika sana mwanao amefariki.
Mara mtoto aliposikia hivyo akafumbua macho kwa tabu na kumwambia baba yake,baba huyu dota muongo me sijafa.
Mzee Mwa K:Kelele wewe asa we na daktari nani anajua zaidi.
pschuuuuuuh!!!!!!!!
[ Tuma Kichekesho Chako ]



Hapa Unasemaje?Cheki picha (juu) halafu ikong'oli
ili utoe maelezo yako kuhusu unachokiona, kisha njoo uangalie
kesho (chini kushoto) uone wengine wamesema nini...