
1. unanishangaa?mimi ndo kibonge kwetu,max-pangani
2. Mtu wangu huo mguu namkono inakuwa vipi,au unatumia nguvu za atomic,ucpaime,Dorah Kangaja,Ar town,
3. Huyu vipi nae,kapigwa bomu huko Thailand,by Seur Sirikwa,Ar
4. mbona kitabu hakisogei??!!...mike
5. yaani kabakia misuli tu,mbona kazi ipo....mike
6. na magonjwa yaliyojaa duniani huu unaitwa ugonjwa wa kupotea. Bado kichwa na mikono tuu viathirike.
Mbongo-US
7. Ratiba ya kula misiijui,nimetumwa na ukoo kupiga book.MAHEWA A-TOWN
8. Huyu jamaa yupo chuo kikuu cha Mlimani mwa wa pili.
9. hahahahah he must be a dead person Maaan! how comes this Dude .....Oooh! S@#$%&&&***t! anyway u guys keep dropin' some mo fu.....pics.
Dior
Arusha
10. huyu jamaa kabonyezwa kizenji nini mbona mdebwedo. (mudy mpemba) viwanjani. "wazee wa uc family tabata mpoo"
11. ukimwi noma washkaji tuache zinaa tutapotea! MACHOTA 0756309521,
12. Alifanya dayati mpaka na mifupa ikateketea, acheni kuiga!
13. Kama ni mapozi yapo lkn hili limepitiliza-Barique IAA
14. Msosi sio muhimu, nakula simu na kubukua tu - Jordan John T.
15. Unasema Somalia kuna njaa cheki sasa jamaa wa majuu By Brighton
16. Liz, unaona jinsi Ukumwi usivyo na displine huo? Maty
17. this guy, done sin too much now he confessing to his god by read bible. Ohh my God Forgive me. Wisdom Angel
18. HUYU ATAKUWA NI HITLER WA UJERUMANI, BAADA YA KUJIYEYUSHA NA ACID.
19. jamani hii itakuwa ni sceleton kwa ajili ya kufundishia wanafunzi wa sekondari ktk somo la biology
leyla arusha
20. Mfungwa wa kisiasa akiwa gerezani, anawasiliana na mwanasheria wake. kagomea kula kwa mwezi mzima sasa anywa maji tu.
tuma